ALIYE MUUA MKEWE AACHIWA HURU

Mahakama ya Rufaa imemuachia huru Amani Justine, aliyekiri kumuua mpenzi wake Gaudencia Mabuli kwa kumchoma kisu baada ya kumtuhumu usaliti

Kwa siku tatu Gaudencia aliripotiwa kupotea na mwili wake uliokotwa barabarani, maeneo ya Vianzi Mei 23, 2012, akiwa na majeraha kwenye bega lake la kushoto, kwenye paji la uso na kiganjani

Askari aliyemkamata Justine, alisema kuwa alimkamata akiwa na T-shirt nyeusi iliyokuwa na damu. Aidha shahidi alisema Marehemu alikuwa na mtuhumiwa siku ya mwisho kabla ya kuripotiwa kupotea

Mtuhumiwa aliomba radhi kwa kusema kuwa ni shetani aliyempelekea kufanya hivyo. Jaji wa Mahakama ya rufaa alisema kisheria ushahidi wa aliyetuhumiwa hautoshi kuhitimisha kuwa ana hatia.





Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form