WAICHOKOZA POLISI KENYA

 Polisi nchini Kenya wameanza msako mkali kuwatafuta watu 11 waliotoroka mahabusu baada ya kuchimba ukuta wa kituo cha polisi mjini Bungoma. Wawili kati ya waliotoroka ni watuhumiwa wa kesi ya mauaji.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form