Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) amechukua fomu ya uteuzi wa kugombea nafasi hiyo. Akizungumza mara baada ya zoezi hilo amesema akichaguliwa ataondoa matabaka ya Upemba na Uunguja, Ukaskazini na Ukusini na utofauti wa kidini.
Tags
UCHAGUZI