Basi la Sabuni Express linalofanya safari zake kati ya Kamachumu na Mwanza limepinduka Kyamalebe Wilayani Muleba leo, Polisi Kagera wamesema Watu zaidi ya watano wamepoteza maisha na majeruhi wapo zaidi ya 20 huku wanne wakiwa katika hali mbaya.
Tags
BREAKING NEWS