VYAMA VYAPEWA ONYO MATUMIZI YA PESA

 Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa Tanzania, Sisty Nyahoza (pichani) amesema kuwa, chama chochote cha siasa kinachoshiriki Uchaguzi Mkuu 2020 hakiruhusiwi kutumia zaidi ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 17, katika shughuli zake zote kwenye uchaguzi.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form