LIONEL MESI ameripotiwa kuwa anataka kuondoka Barcelona baada ya kipigo cha 8-2 kutoka kwa Bayern Munich. PSG na Man City ndizo klabu zinazopewa nafasi ya kunasa saini ya nyota huyo ambaye gharama ya kumng'oa Camp Nou kwa sasa ni TZS 1.6 trilioni. Mkataba wake unaisha 2021.
Tags
SPORTS