Inasemekana kwamba Juventus haina tena msimamo wa kwamba Cristiano Ronaldo hawezi kuhamishwa hadi timu nyingine na huenda ikaamua kumuuza mchezaji huyo kwa kitita cha pauni milioni 54 huku Paris St-Germain ikimfuatilia kwa karibu kutaka kumsajili mchezaji huyo, 35.
Tags
SPORTS