SUGU ARUDISHA FOMU YA UGOMBEA

 Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini anayemaliza muda wake, Joseph Mbilinyi 'Sugu' amerudisha fomu za uteuzi wa kugombea ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA katika ofisi za Mkurugenzi wa uchaguzi wa jimbo hilo.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form