JOKATE KUJENGA MSIKITI

MKUU wa wilaya ya  kisarawe amekubali ombi la kuwa Mlezi Mkuu wa Kamati ya Ujenzi wa Msikiti wa ghorofa 2 wa Masjid Islamiya ambao unatarajiwa kuwa msikiti mkubwa zaidi Kisarawe na ameahidi kuwatafuta Wafadhili wakusaidia ujenzi huo utakaogharimu Tsh. Mil 500.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form