CHALAMILA AWASHA MOTO WA VYOO

 RC Mbeya Albert Chalamila, amesema ukosefu wa vyoo katika Shule ya Msingi Sisimba ni aibu kwa waliosoma katika shule hiyo kongwe, na kuwaomba wananchi kuanza kuchangia ujenzi wa vyoo kabla yeye hajaanza kuwasaka wale waliosoma mahali hapo ili wachangie kwa lazima.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form