RAIS ATANGAZA KUJIUZULU

 Rais wa Mali Ibrahim Boubacar Keita ametangaza kujiuzulu kupitia TV ya Taifa saa chache baada ya Wanajeshi waasi kumkamata yeye pamoja na Waziri Mkuu wake Boubou Cisse katika mji mkuu wa Bamako, Keita amelivunja pia Bunge “sitaki damu imwagike kisa mimi kubaki madarakani.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form