Maafisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wakibandika majina ya walioteuliwa kugombea kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Tanzania nje ya ofisi za NEC, jijini Dodoma. Hatua hii inatoa fursa ya kuwekwa pingamizi kwa wagombea hao ambapo mwisho ni saa 10:00 jioni, Agosti 26, 2020.
Tags
UCHAGUZI