Jeshi la Mali limeahidi kuunda serikali ya mpito kuelekea uchaguzi mkuu. Hatua hiyo imekuja baada ya Rais Ibrahim Keïta kutangaza kujiuzulu kufuatia kushikiliwa na jeshi la nchi hiyo. Jumuiya za Afrika na zile za kimataifa zimekemea mapinduzi hayo kuwa yamekiuka katiba ya nchi.
Tags
UCHAGUZI