Taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika vya FC Barcelona zinaeleza kwamba nahodha wa timu hiyo Lionel Messi amepeleka maombi rasmi ya kutaka kuvunja mkataba wake wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Carles Puyol, mchezaji wa zamani wa Barca, ame-tweet kumpa support Messi.
Tags
SPORTS