Msemaji wa Upinzani nchini Urusi ameeleza kuwa mwanasiasa na mwanaharakati mashuhuri nchini humo, Alexei Navalny (pichani) amenyweshwa sumu iliyowekwa kwenye chai, na sasa yuko katika chumba cha wagonjwa mahututi baada ya kupoteza fahamu.
Tags
BREAKING NEWS