Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage, amemteua Leopold Mahona kuwa mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha NRA na Ally Hamis ameteuliwa kugombea Kiti cha Makamu wa Rais kupitia Chama hicho.
Tags
UCHAGUZI