NEC YATUPILIA MBALI PINGAMIZI LA LISU

 Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetipilia mbali pingamizi lililowekwa na Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu dhidi ya mgombea wa CCM, Dkt.MAGUFULI kuwa hakuambatanisha picha kwenye fomu ya uteuzi na hakurudisha fomu kwa mujibu wa masharti yaliyowekwa na sheria.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form