Bandari ya Beirut imefunguliwa tena na kwa kuanza imeanza kupokea Meli zilzobeba misaada baada ya Bandari hiyo kulipuka na kusababisha vifo vya zaidi ya Watu 170, Maelfu ya Majeruhi na kuacha Raia wengi Lebanon bila makazi, hizi ni picha za muonekano mpya eneo hilo.
Tags
BREAKING NEWS