ARUSHA WAPOKEA TRENI MPYA YA MIZIGO

  DC Arusha, Kenani Kihongosi akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha ameongaoza wananchi wa Arusha kupokea treni ya kwanza ya mizigo ya majaribiio iliyowasili leo jijini Arusha. Aidha, wananchi wamepokea kwa furaha kubwa ujio wa treni hiyo wakimshukuru Rais JOHN POMBE MAGUFULI kwakuifufua.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form