TANZIA:
Mgombea udiwani wa Kata ya Idodi mkoani Iringa, Ndg. Onesmo Mtatifikoro (CCM) amefariki muda dunia si mrefu katika hospitali ya Tosamaganga
Huyu ndiye Diwani mstaafu wa kata hiyo.
Marehemu aliugua ghafla na kukimbizwa katika hospitali hiyo usiku wa leo na kafariki mapema asuhuhi hii
Tags
UCHAGUZI