Tanzia
Dr. Luis Shika maarufu kama Mzee wa 900 itapendeza amefariki Duniani jana saa 4 asubuhi akiwa anauguzwa nyumbani kwa Kaka yake Joseph Kidola, Wilayani Magu, Mwanza, Kaka wa Marehemu amesema chanzo cha kifo chake ni figo kufeli “atazikwa kesho mchana hukuhuku Mwanza”
Tags
BREAKING NEWS