Inaripotiwa Baba Mzazi wa Messi amewasili jijini Manchester ilidaiwa ni kufanya mazingumzo na Man City juu ya uhamisho wa Messi anaeripotiwa kuvutiwa zaidi na Man City ili kuungana na kocha wake wa zamani Guardiola, kama ni kweli Messi anakwenda Man City.
#millardayoupdates
Tags
SPORTS