JWTZ KUANZA MSAKO MSITUNI

 Kikosi cha Kusini cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kimesema kitafanya msako katika misitu ya mikoa inayopakana na Msumbiji

Kiongozi wa zoezi hilo amewataka wote waliopo katika misitu mikoani Lindi, Mtwara na Ruvuma kuondoka mara moja kupisha operesheni hiyo

Amesema wataanzia Ruvuma na kisha kwenda Lindi kwasababu kuna watu wanaofanya vitendo vya kihalifu ndani ya misitu hiyo

Mwezi Mei mwaka huu Serikali ilisema itapeleka vikosi mpakani kuimarisha usalama kufuatia shambulio lililotokea eneo la Cabo Delgado, Kaskazini mwa Msumbiji.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form