Rais Donald Trump wa Marekani amewatahadharisha wanachama wenzake wa Republican kuwa wapinzani wao kutoka chama cha Democratic wanaweza kuiba kura katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Novemba,2020. Hadi sasa kwenye kura za maoni zinaonesha mgombea wa Democratic, Joe Biden anaongoza.
Tags
UCHAGUZI