Msanii na Mbunge aliyemaliza muda wake Prof Jay, ametaka kuongeza muda wa kuendelea kuongoza Jimbo la Mikumi baada ya kutangaza kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Tags
UCHAGUZI
Msanii na Mbunge aliyemaliza muda wake Prof Jay, ametaka kuongeza muda wa kuendelea kuongoza Jimbo la Mikumi baada ya kutangaza kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo hilo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).