MEMBE AWAFARIJI WALIOKOSA UBUNGE

 Mgombea urais wa ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema amefurahishwa sana na uteuzi wa wagombea Ubunge wa CCM na kuwapa pole wote waliokatwa kwa sababu walikuwa karibu naye.

Membe amewakaribisha wale waliokatwa kujiunga na ACT-Wazalendo ili safari iendelee.

Ameandika katika akaunti yake ya Twitter.

Maendeleo hayana vyama!.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form