WANYAMA WAGEUKA USAFIRI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

 Mgombea urais kwa tiketi ya Demokrasia Makini, Cecilia Augustino Mmanga aliyekwenda kuchukua fomu ya uteuzi wa kuwania urais NEC Makao Makuu wakiwa na Bajaji, Agost 8, amesema huo ndio utakuwa usafiri wao.

Amesema kwa kipindi chote cha kampeni kitakachoanza Agosti 26 wao watatumia Bajaji, pikipiki na baiskeli, guta na punda katika kufanya kampeni zao nchi nzima.

Akiongea na waandishi wa habari amesema watatumia usafiri huo kwa kuwa wakulima walio wengi ndio hutumia usafiri huo na wao chama chao ni Makini yaani makini ni maarifa, kilimo na nishati.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form