IDADI YA WAPIGA KURA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU

 Katika Kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania Oct 28,2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kupitia kwa Kamishina wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Thomas Mihayo ametaja idadi ya Wapiga Kura waliopo kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ambao ni zaidi ya Million 29.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form