SERIKALI YATISHIA KUVUNJA MKATABA

 Mkuu wa mkoa wa Njombe Mhandisi Mwita Marwa Rubirya,amewaagiza wakala wa majengo Tanzania TBA mkoa wa Njombe kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi wa jengo la ofisi ya mkoa wa Njombe ndani ya siku 7 kabla serikali kulazimika kusitisha mkataba wao.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form