Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Dk. John Magufuli, Leo Agost 17 anatarajia kukabidhi Uenyekiti wa SADC kwa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi katika Mkutano wa 40 wa SADC utakaofanyika kwa video kuanzia saa 5:00 asubuhi.
Tags
BREAKING NEWS