“Mnasema kwamba uchaguzi haukuwa huru na wa haki, na sasa mnataka uchaguzi mwingine? Jibu langu ni hili, hakutakuwa na uchaguzi mwingine, labda mniue.” - Rais wa Belarus, Alexander Lukashenko akiwajibu waandamanaji wanaomtaka ajiuzulu, baada ya kukaa madarakani kwa miaka 26.
Tags
BREAKING NEWS