Mchezaji Bernard Morrison ameshinda kesi yake dhidi ya Klabu ya Yanga na ataendelea kuwa mchezaji halali wa Simba. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa kulikuwa na kasoro katika mkataba uliowasilishwa na Yanga kwa madai kuwa ni mkataba kati yake na Morrison.
Tags
SPORTS