Wavuvi 10 wa Uganda wametekwa Magharibi mwa nchi hiyo katika Ziwa Edward na watu wenye silaha kutoka DR Congo. Mkuu wa Wilaya ya Rukungiri amesema wavuvi hao walitekwa mwishoni mwa juma lililopita na sasa wanaomba kiasi cha TZS 4 milioni za Uganda ili waweze kuachiwa huru.
Tags
BREAKING NEWS