WALIOSHIRIKI JARIBIO LA KIGAIDI WAPANDISHWA KIZIMBANI

Watu watatu wamefikishwa Mahakamani Kisutu wakikabiliwa na mashitaka 7 ikiwemo kushiriki vikao vya kutengeneza mikakati ya ugaidi, kukutwa na vilipuzi, silaha na sare za JWTZ, wote wamesomewa mashtaka yao leo Agosti 19.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form