MORRISON ATUA MSIMBAZI

 Aliyekuwa mchezaji wa timu ya YOUNG AFRICAN, amesaini mkataba mpya wa kuitumikia timu ya mabingwa wa VPL 2019/20 SIMBA SC,  Yanga ilimsajili nyota huyo wa Ghana Januari mwaka huu akitokea Klabu ya DC Motema Pembe ya nchini DR Congo.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form