TRUMP AFICHUA SIRI YA MLIPUKO WA LEBANON

Rais Donald Trump amesema anaamini mlipuko uliotokea Beirut Lebanon ni shambulizi lililopangwa na kwamba Bandari hiyo imelipuliwa kwa Bomu au silaha nyingine nzito “sina maelezo zaidi lakini nimeongea na Majenerali wa Jeshi wa Marekani na mtazamo wao unaamini hilo ni shambulizi”

CHANZO: #jamiiforum





Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form