Rais Donald Trump amesema anaamini mlipuko uliotokea Beirut Lebanon ni shambulizi lililopangwa na kwamba Bandari hiyo imelipuliwa kwa Bomu au silaha nyingine nzito “sina maelezo zaidi lakini nimeongea na Majenerali wa Jeshi wa Marekani na mtazamo wao unaamini hilo ni shambulizi”
CHANZO: #jamiiforum
Tags
BREAKING NEWS