WATU ZAIDI YA 25 WAFARIKI KATIKA MLIPUKO WA BEIRUT, LEBANON
Takriban watu 25 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 2,500 wamejeruhiwa katika mlipuko huo ambao chanzo hakijafahamika
Mlipuko huo umetokea katika eneo la bandari la Beirut
Waziri wa Afya, Hamad Hassan amesema Watu zaidi ya 50 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 2,750 wamejeruhiwa kufuatia mlipuko uliotokea eneo la bandari ya mji huo
Mlipuko huo pia umetuma mawimbi yaliyosababisha majengo mengi mbali na eneo la mlipuko, kutikisika, kuvunjika madirisha na milango
Tags
BREAKING NEWS