WAUMINI WAGOMEA MAKANISA KENYA



Makanisa mengi Kenya yamejikuta yakipata idadi ndogo ya waumini tangu Serikali iondoe marufuku ya mikusanyiko ya kidini

Idadi kubwa ya waumini wameamua kufuatilia ibada za makanisa yao kupitia mtandao huku makanisa yakipata waumini wasiozidi 100

Kanisa la PEFA lililopo Migori lilipata waumini 140 katika ibada nne huku makanisa mengine yakiwemo Citam Kisumu na ACK Dago yakiendelea kufungwa

Padri Bernard Juma wa Kanisa la Anglikana la Kenya (ACK) Parokia ya Makongeni, Homa Bay ametoa wito kwa Serikali ya Kaunti hiyo kuwaisaidia kununua vipima joto na kuwaomba watu kuchangia vitakasa mikono

Amesema baadhi ya makanisa yanapata wakati mgumu kwasababu ya gharama kubwa ambazo Wakristo wengi hawawezi kumudu

We

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form