DODOMA FC YATWAA UBINGWA

Dodoma FC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Daraja la 1, baada ya kuifunga Gwambina FC 1-0 katika fainali ya mashindano hayo iliyochezwa leo, Julai 18, 20 katika uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam. FT: Gwambina 0-1 Dodoma FC

52' Anwar Jabir akiifungia dodoma fc


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form