NYUMBA YA MILELE YA RAIS MKAPA YAKARABATIWA

Baadhi ya makaburi ya familia ya Mwendazake Rais Mstaafu Benjamin Mkapa yaliyopo nyumbani kwao kijijini Lupaso. Katika eneo hili ndipo mwili wa kiongozi huyo utakapozikwa. Baadhi ya makaburi yaliyopo hapa ni pamoja na kaburi la mamake, babake, kakake na mmoja wa machifu wa ukoo.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form