Wizara ya Viwanda na Biashara imekabidhi kwa Wizara ya Habari hati na nyaraka mbalimbali za usimamizi wa Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA) ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Dkt.
@MagufuliJP
la kuihamisha taasisi hiyo ili kurahisisha usimamiaji wa kazi za sanaa nchini.