SHEIKH ISA PONDA ATIWA MIKONONI MWA JESHI LA POLISI

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam SACP- Lazaro Mambosasa, amethibitisha kwamba ni kweli Polisi wanaye Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda.

"Tunaye sisi Polisi, tumemkamata kwa Mahojiano ya Uchochezi walioutoa kwenye kitu walichokiita Waraka. Tunamhoji kutokana na ule Waraka, Yeye kakubali kwamba ni wake na Taasisi yake lakini Viongozi wote wa Taasisi wameukana kupitia Vituo mbalimbali vya radio na TV. Hivyo tunazidi kumshikilia. Amesema Mambosasa.

Hivi Karibuni, Shura ya Maimamu Tanzania, ilitoa Waraka kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2020

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form