HomeBREAKING NEWS TUNDU LISU AWATIBUA POLISI byomie digital -Monday, July 27, 2020 Mwanasheria Tundu Lissu amewasili nchini baada ya kuwa ughaibuni kwa matibabu kwa zaidi ya miaka miwili, baada ya kunusurika kifo kwa shambulio la risasi akiwa Dodoma. Pichani, Lissu akipokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Tags BREAKING NEWS Facebook Twitter Share:TUNDU LISU AWATIBUA POLISI Facebook Twitter WhatsApp Pinterest LinkedIn Reddit Tumblr Telegram Email