TAKUKURU imewasimamisha kazi watumishi tisa waliohusika katika usimamizi na ujenzi wa majengo saba ya ofisi za taasisi hiyo ambayo hayaendani na gharama za ujenzi. Majengo hayo yamejengwa kwa jumla ya TZS 1 bilioni, sawa na wastani wa TZS 143 milioni kwa kila nyumba.