Chama tawala nchini UGANDA kumemtangaza Rais Yoweri Museveni kuwa mgombea wa chama hicho katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Januari 2021. Rais huyo aliyeingia madarakani mwaka 1986 anawania kuliongoza taifa hilo la Afrika Mashariki kwa muhula wa sita.