MOYO WACHUKUA UHAI WA MKAPA

Msemaji wa Familia ya Mkapa, William Erio amesema Rais Mstaafu Benjamin Mkapa alifariki kutokana na mshituko wa moyo. Erio amesema kiongozi huyo alikuwa amelazwa baada ya kuugua Malaria lakini vipimo vya mwisho vinaonesha alipata mshtuko wa moyo wakati akisimama kutoka kitandani.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form