MOTO WAITIA SHULE HASARA

Wanafunzi 36 wa shule ya wasichana ya Mtakatifu Joseph iliyopo jijini Mwanza wamenusurika kifo baada ya bweni moja la shule hiyo kuungua moto na kusababisha hasara ya mali na vitu mbalimbali vya wanafunzi.
Kaimu Mkuu wa shule hiyo, Florida Busasi amesema tukio hilo la moto limetokea majira ya saa 11 alfajiri ya Julai 23 kwenye  bweni lenye vyumba vitatu vyenye uwezo wa kuchukua itvitanda 18 ambapo wanafunzi hao wamepoteza kila kitu zaidi ya kubaki na nguo walizokuwa wamevaa .


Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoa wa Mwanza Kamishna Msaidizi Mwandamizi Ambwene Mwakibete amesema uchunguzi wa kubaini chanzo cha moto huo bado unaendelea. 

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form