Kituo cha SABC kimeripoti kifo cha mtoto wa Nelson Mandela na Winnie Madikizela-Mandela, Zindzi Mandela (59) kilichotokea asubuhi ya leo jijini Johannesburg
Kwa mujibu wa SABC, taarifa ya kifo imethibitishwa na familia. Hata hivyo, chanzo cha kifo hicho bado hakijawekwa wazi
Zindzi ambaye ni mtoto wa 6 wa Mandela alikuwa Balozi wa Afrika Kusini nchini Denmark
Kwa mujibu wa SABC, taarifa ya kifo imethibitishwa na familia. Hata hivyo, chanzo cha kifo hicho bado hakijawekwa wazi
Zindzi ambaye ni mtoto wa 6 wa Mandela alikuwa Balozi wa Afrika Kusini nchini Denmark
Tags
BREAKING NEWS