“Rais wa Afrika Kusini Cryril Ramaphosa kwa niaba ya Serikali na Watu wa Afrika Kusini ametuma salamu za rambirambi kwa Serikali ya Tanzania kufuatia kifo cha Rais Mstaafu Mkapa “Mkapa alikuwa ni kiongozi mwenye maono, mpenda amani, mwenye moyo wa ukombozi na fahari ya Afrika”