Juliana Lumumba, mtoto wa aliyekuwa Waziri Mkuu wa DR Congo, Patrice Lumumba ameandika barua kwenda Ubelgiji akitaka nchi hiyo irejeshe jino la baba yake aliyeuawa mwaka 1961. Lumumba alikuwa na mchango mkubwa wa kuibadili DRC kutoka kuwa koloni hadi kuwa Jamhuri huru.